GST YAWEKEZA UJUZI, TEKNOLOJIA KUBORESHA TAFITI ZA MADINI NCHINI

GST YAWEKEZA UJUZI, TEKNOLOJIA KUBORESHA TAFITI ZA MADINI NCHINI
Mkurugenzi wa Utawala na Uendeshaji wa GST,  Neema  Mhagama akizungumza na waandishi wa habari  alipotembelea banda la GST katika Maonesho ya  Kilimo ya Kimatiafa Nane Nane yanayoendelea  kwenye Viwanja vya Dkt.John Samwel Malecela ,Nzuguni jijini Dodoma, Na Mwandishi Wetu TAASISI ya Jiolojia na Utafiti wa Madini Tanzania (GST) imesema inaendelea kuwekeza katika mafunzo na ushirikiano na taasisi mbalimbali za kitaifa na kimataifa, ikiwa ni sehemu ya mikakati ya kuimarisha uwezo wa kitaalamu katika tafiti za jiosayansi na uchunguzi wa sampuli maabara. Akizungumza wakati wa ziara katika Banda la GST kwenye Maonesho ya Kilimo ya Kimataifa Nane Nane yanayoendelea katika Viwanja vya Dkt. John Samwel Malecela, Nzuguni jijini Dodoma, Mkurugenzi wa Utawala na Uendeshaji wa GST, Neema Mhagama, amesema taasisi hiyo imekuwa ikiwajengea uwezo watumishi wake kupitia mafunzo na ushirikiano wa kitaalamu na taasisi za ndani na nje ya nchi Amesema hatua hiyo inalenga kuhakikisha GST inaendelea kuendana na…