KATIBU MKUU SHELUKINDO AONGOZA UZINDUZI WA ‘NJE JOGGING CLUB Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Dkt. Samwel Shelukindo, ameongoza uzinduzi wa mazoezi ya pamoja kup…
SAMATTA ASTAAFU RASMI TAIFA STARS Nahodha wa muda mrefu wa Taifa Stars, Mbwana Samatta ametangaza rasmi kustaafu kuitumikia timu hiyo, akihitimisha safari ya takribani miaka 15 aliyos…
MASHABIKI WA SIMBA WAFURIKA JANGWANI KUSHEREHEKEA UBINGWA WA KOMBE LA CRDB Mashabiki wa Simba SC wamefurika maeneo tofauti ikiwemo Jangwani jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kusherehekea ubingwa wa Kombe la Shirikisho la CRD…
RATIBA HATUA YA 32 KOMBE LA DUNIA 2026 𝐉𝐔𝐍𝐈 𝟐𝟎𝟐𝟔 Afrika Kusini vs Canada: Juni 28, Saa 4:00 Usiku (Uwanja wa Los Angeles) Morocco vs Uholanzi: Juni 30, Saa 10:00 Alfajiri (Uwanja…
TRA DODOMA YAADHIMISHA MIAKA 30 KWA MATEMBEZI YA HISANI, BONANZA DODOMA, 27 Juni 2026 Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa Dodoma imefanya Matembezi ya Hisani pamoja na Bonanza la Michezo ikiwa ni sehemu ya ma…
KUNDI C LAFUKUTA ‘MOTO’ BRAZIL, MOROCCO NA SCOTLAND ZATAFUTA NJIA ZA KUFUZU NA MWANDISHI WETU, NOEL RUKANUGA Katika michuano ya Kombe la Dunia 2026, huenda hakuna kundi lililoibua mvuto mkubwa kama Kundi C. Baada ya kila tim…
SIMBA SC YAENDELEZA MAKALI YAKE, YAICHAPA PAMBA JIJI 2-1 Wekundu wa Msimbazi, Simba SC, wamefanikiwa kuibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Pamba Jiji katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara. Mabao ya Si…
MEXICO YAIANZA KOMBE LA DUNIA KWA USHINDI WA MABAO 2-0 DHIDI YA AFRIKA KUSINI Timu ya Taifa ya Mexico imefanikiwa kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Timu ya Taifa ya Afrika Kusini katika mchezo wa ufunguzi wa Kombe la Dun…
MWIJAGE CUP YAZINDULIWA KAMACHUMU, TIMU 20 ZASHINDANIA SHILINGI MILIONI 6 Na Silivia Amandius Muleba,Kagera. Mashindano ya soka kwa vijana ya Kamachumu Paul Mwijage Cup yamezinduliwa rasmi katika Tarafa ya Kamachumu, Wil…
CHAMA AIPA YANGA SC PRESHA MBIO ZA UBINGWA Kikosi cha Wekundu wa Msimbazi, Simba SC, kimefanikiwa kuibuka na ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Mashujaa FC katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara u…
TRA UNITED YALAZIMISHWA SARE NA JKT TANZANIA TRA United imepata sare ya bao 1-1 kwenye uwanja wake wa nyumbani dhidi ya JKT Tanzania katika mchezo wa ligi uliochezwa leo. TRA United ndiyo iliku…
YANGA SC YAICHAPA 3-0 COASTAL UNION Mabao mawili ya dakika ya 18 na 63 ya kiungo nyota wa Yanga, Allan Okello, sambamba na lile la dakika ya 75 kutoka kwa Maxi Nzengeli, yametosha kuip…
SIMBA YABANWA NA TRA UNITED, MBIO ZA UBINGWA LIGI KUU Simba SC imeshindwa kupunguza pointi dhidi ya vinara wa Ligi Kuu Bara, Yanga, baada ya kubanwa mbavu ya kutoka sare tasa na TRA United, katika mchezo…
SIMBA SC YAIBUKA NA USHINDI MNONO DHIDI YA TRA UNITED NA NOEL RUKANUGA, DAR ES SALAAM Klabu ya Simba imeibuka na ushindi wa mabao 3-0 katika mchezo wa Ligi Kuu Bara ambapo timu hiyo sasa imesogea hadi n…
YANGA SC YATUMA SALAMU NZITO KWA SIMBA SC BAADA YA KUICHAPA JKT TANZANIA 5-0 Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Young Africans Sports Club , wamefanikiwa kuibuka na ushindi wa mabao 5-0 dhidi ya JKT Tanzania katika …
SIMBA SC MAMBO MAGUMU LIGI YA MABINGWA BARANI AFRIKA Wekundu wa Msimbazi, Simba SC, wamefanikiwa kupata sare ya bao 1-1 dhidi ya Petro de Luanda katika mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika, hatua ya makund…