RAIS NDAYISHIMIYE AMFARIJI RAIS DKT. SAMIA KUFUATIA KIFO CHA MUME WAKE
RAIS NDAYISHIMIYE AMFARIJI RAIS DKT. SAMIA KUFUATIA KIFO CHA MUME WAKE Rais wa Jamhuri ya Burundi Mheshimiwa Evariste Ndayishimiye amemfariji Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, baada ya kuwasili nyumbani kwake Kizimkazi, Mkoa wa Kusini Unguja, Zanzibar, tarehe 08 Septemba, 2026, kufuatia kufiwa na Mume wake Marehemu Maalim Hafidh Ameir Hassan aliyefariki dunia katika Hospitali ya Kumbukumbu ya Emilio Mzena Zanzibar, tarehe 07 Sept, 2026.