WAZIRI MAVUNDE AZINDUA HELIKOPTA YA BARRICK KWA UTAFITI WA KISASA WA KIJIOLOJIA

WAZIRI MAVUNDE AZINDUA HELIKOPTA YA BARRICK KWA UTAFITI WA KISASA WA KIJIOLOJIA
Waziri wa Madini, Anthony Mavunde (katikati) akikata utepe ishara ya ku zindua helikopta ya kisasa ya  Kampuni ya Barrick  kwa ajili ya kufanya utafiti wa kijiolojia wa anga - Picha na Kadama Malunde Waziri wa Madini, Anthony Mavunde aki pata maelezo wakati akizindua helikopta ya kisasa ya  Kampuni ya Barrick  kwa ajili ya kufanya utafiti wa kijiolojia wa anga  Helikopta ya kisasa ya  Kampuni ya Barrick  kwa ajili ya kufanya utafiti wa kijiolojia wa anga  Waziri wa Madini, Anthony Mavunde na viongozi ,mbalimbali wakishuhudia helikopta ya kisasa ya  Kampuni ya Barrick ikiruka angani  kwa ajili ya kufanya utafiti wa kijiolojia wa anga  Helikopta ya kisasa ya  Kampuni ya Barrick ikiwa angani  Waziri wa Madini, Anthony Mavunde akizungumza wakati aki zindua helikopta ya kisasa ya  Kampuni ya Barrick  kwa ajili ya kufanya utafiti wa kijiolojia wa anga  Meneja wa Barrick nchini , Dkt. Melkiory Ngido akizungumza wakati wa hafla hiyo Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Mhe. Mboni Mhita akizungumza wakati wa hafla hiyo. ** Ka…