RAIS SAMIA ATOA NDEGE YA KUWACHUKUA SERENGETI BOYS RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ametoa usafiri wa ndege kwa ajili ya kuwachukua mashujaa wa Timu ya Taifa ya …
DAR ES SALAAM YAPATA HESHIMA YA KIMATAIFA KATIKA SHEREHE ZA MISS WORLD Dar es Salaam inatarajiwa kuwa kitovu cha burudani na fahari ya taifa mnamo tarehe 19 Aprili 2026, wakati hafla ya kipekee ya kumchagua mwakilishi wa…
NYASI BANDIA SULUHISHO LA KUDUMU UWANJA WA CCM MKWAKWANI Na Oscar Assenga, Tanga Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Tanga kimeeleza kuwa suluhisho la kudumu la kuboresha eneo la kuchezea katika Uwanja wa …
KWAHANI FC MABINGWA MASAUNI CUP Na; Mwandishi Wetu, Unguja TIMUya Kwahani FC imetwaa ubingwa wa Masauni Cup baada ya kuichapa Mwembeladu FC kwa changamoto ya mikwaju ya penati 1-0 b…
Mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika Kati ya Yanga na JS Kabylie Uliyofanyikac Uwanja wa Mew Amaan Complex Katika Mchezo Huo Yanga Imeshinda Bao 3-0
Mchezo wa Kombe la Shirikisho Afrika Kati ya Azam na Nairobi United Mchezo Uliyofanyika Uwanja wa New Amaan Complex Zanzibar.Timu ya Azam Imeshinda Mchezo Huo Kwa Bao 1-0 Mchezaji wa Timu ya Azam Feisal Salum Feitoto akijiandaa kumpita beki wa Timu ya Nairobi United , katika mchezo wa Kombe la Shirikisho Afrika uliyofa…
Mchezo wa Mpira wa Kikapu Ligi Kanda ya Unguja Kati ya Miembeni na Dream Mchezo Uliyofanyika Uwanja wa Mao Zedong.Timu ya Miembeni Imeshinda Kwa Vikapu 53-51 Mchezaji wa Timu ya Dream akiwa mpira akijiandaa kumpita mchezaji wa Timu ya Miembeni, wakati wa mchezo wao wa Ligi ya Kikapu Kanda ya Unguja, mchez…
Yanga Kukutana na Al Ahly Jumamosi Zanzibar, Polisi Waahidi Ulinzi Mkali Na Mwandishi Wetu MASHABIKI wa soka nchini Tanzania wanatarajiwa kushuhudia mchezo mkubwa wa kimataifa siku ya Jumamosi, tarehe 31 Januari 2026, amba…
Mchezo wa Kikapu Ligi Kanda ya Unguja Kati ya Polisi na African Magic Uliyofanyika Uwanja wa Mao Zedong.Timu ya Polisi Imeshinda Mchezo Huo Kwa Vikapu 63-60